SBS Swahili - SBS Swahili

Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

https://www.sbs.com.au/language/swahili/sw/podcast/sbs-swahili

Eine durchschnittliche Folge dieses Podcasts dauert 10m. Bisher sind 1551 Folge(n) erschienen. Dieser Podcast erscheint täglich.

Gesamtlänge aller Episoden: 13 days 9 hours 48 minutes

subscribe
share






Settlement Guide: Dementia care for migrants - Mwongozo wa Makazi: Huduma ya wahamiaji wenye ugonjwa wa akili


Dementia is not a normal part of ageing and yet Alzheimers Australia predicts by mid-century almost a million people will be living with the illness.   -

Dementia ni ugonjwa wa akili ambao si sehemu ya kawaida yaku zeeka, hata hivyo shirika la Alzheimers Australia lime tabiri kuwa kufikia katikati ya karne hii, idadi ya watu wapatao milioni wata ishi na ugonjwa huo.  


share








 August 30, 2016  10m
 
 

Yabin: "Third terms are a virus destroying African countries" - Yabin: "Mihula ya tatu ni virusi vinavyo angamiza mataifa ya Afrika"


Can art save communities? many presidents in Africa are embroiled in the issue of running for third terms despite bitter opposition from the respective countries citizens. - Je sanaa yaweza nusuru jamii ? Wakati huu suala la muhula watatu kwa baadhi ya maraisi waafrika ukizua utata.  


share








 August 26, 2016  12m
 
 

ADF Nalu Rebels Court Appearance - Waasi wa kundi la ADF Nalu wafikishwa mahakamani


Members of the ADF Nalu rebel group were recently brought before a military court in Beni, North Kivu, DR Congo.   -

Mahakama ya kijeshi mjini Beni ilihanza kusikiliza kesi ya watuhumiwa kadhaa wa wanamgambo kutoka kundi la waasi wa ADF Nalu katika mji wa Beni mkoani kivu, kaskazini mashariki mwa jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo.  


share








 August 26, 2016  6m
 
 

New senators may be called into action immediately on budget bill - Maseneta wapya kuamua hatma ya mswada wa serikali


When federal parliament resumes next Tuesday (Aug 30) the Government will be dealing with the largest senate crossbench in Australian history.   

- Bunge la taifa litakapo fanya kikao cha kwanza jumanne tarehe 30 Agosti, serikali ita kabiliana na seneti yenye wanachama wengi kutoka vyama vingi vidogo katika historia ya Australia.  


share








 August 23, 2016  7m
 
 

Another incident over AFL Indigenous player sparks anger - Kisa kingine cha ubaguzi wa rangi dhidi ya mchezaji waki Asili cha zua hasira


The father of a spectator who threw a banana at A-F-L Indigenous star Eddie Betts has denied the incident was a racist act. 

-

Baba ya shabiki wa mchezo wa AFL aliye mrushia ndizi mchezaji waki Aboriginal Eddie Betts uwanjani, ame tupilia mbali madai kuwa tendo hilo lilikuwa laubaguzi wa rangi. 


share








 August 23, 2016  5m
 
 

Settlement Guide: How to lodge a tax return


Its Tax Time. This means the 2015 to 2016 financial year is nearing its end.  


share








 August 22, 2016  13m
 
 

Questions over future of PNG detainees once Manus centre closes - Maswali yaibuka kuhusu hatma ya wafungwa kituo cha Manus kitakapo fungwa


There are questions over how hundreds of asylum seekers and refugees from the regional processing centre in Papua New Guinea will be resettled after news the facility will close.    -

Maswali yame ibuka kuhusu hatma ya mamia yawaomba hifadhi na wakimbizi ambao wako ndani ya kizuizi nchini Papua New Guinea, baada yaku fungwa kwa kituo hicho.  


share








 August 22, 2016  8m
 
 

David Rudisha makes Kenya proud in Rio - David Rudisha aipa Kenya fahari mjini Rio


Kenya has suffered a sever battering at this years Olympic games in Rio de Janeiro, Brazil. Two coaches were sent home in disgrace days after WADA removed Kenya from the non compliant countries list.

-

Kenya ime kabiliana na janga moja hadi lingine katika michuano ya Olimpiki mjini Rio de Janeiro, Brazil. Wakufunzi wawili walirejeshwa nyumbani mapema siku chache baada ya shirika la WADA kuondoa Kenya, katika orodha ya nchi ambazo hazi tekelezi masharti ya shirika hilo.


share








 August 16, 2016  15m
 
 

Government in damage control over Census website failure - Serikali yaingia katika hali yaku dhibiti madhara ya tovuti ya sensa iliyo feli


The federal government has moved quickly into damage control mode after the failure of the census web site due to a deliberate effort to sabotage the exercise.  

-

Serikali ya taifa imechukua hatua za haraka kudhibiti madhara yaliyo sababishwa na tovuti ya sensa kufeli, kwa sababu ya majaribio yaku sababisha uharibifu katika tovuti hiyo.


share








 August 16, 2016  8m
 
 

PM faces stoush with states and territories over GST - GST kuwa mwiba kati ya waziri mkuu na viongozi wa mikoa


Prime Minister Malcolm Turnbull is facing a robust fight with the states and territories over planned changes to the way GST revenue is distributed.    -

Waziri Mkuu wa Australia Malcolm Turnbull ana tarajia kukumbwa na upinzani mkali toka kwa viongozi wa mikoa na majimbo kuhusu mipango ya serikali yaku badili jinsi mapato ya kodi ya bidhaa na huduma ama GST kama inavyo julikana hugawanywa.  


share








 August 15, 2016  7m