SBS Swahili - SBS Swahili

Independent news and stories from SBS Audio, connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians. - Taarifa huru na hadithi zinazo kuunganisha na maisha nchini Australia nawa Australia wanao zungumza Kiswahili

https://www.sbs.com.au/language/swahili/sw/podcast/sbs-swahili

Eine durchschnittliche Folge dieses Podcasts dauert 10m. Bisher sind 1539 Folge(n) erschienen. Jeden Tag erscheint eine Folge dieses Podcasts.

Gesamtlänge aller Episoden: 13 days 7 hours 18 minutes

subscribe
share






Charlie "Mashabiki wa Bien watarajie bonge la tamasha"


Wakaaji wa Sydney wana jiandaa kuhudhuria moja ya tamasha kubwa ya mwaka wa 2024, inayo andaliwa na kampuni ya Beast from the East Entertainment.


share








   10m
 
 

Afrika Kusini ya adhimisha mwisho wa kumbukumbu ya apartheid wakati wa ongezeko ya kutoridhika nchini humo


Africa Kusini ina adhimisha miaka 30 tangu uchaguzi wakwanza wayo waki demokrasia ambapo kila raia wa Afrika Kusini aliweza piga kura.


share








   6m
 
 

Taarifa ya Habari 3 Mei 2024


Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema waendesha mashtaka wa shirikisho walifanya uamuzi mubaya kuruhusu dhamana kwa mfungwa wa uhamiaji, ambaye baadae anadaiwa kumshambulia bibi mmoja mjini Perth katika tukio la uvamizi wa nyumba.


share








   17m
 
 

MCA Tricky "Nili ingia katika ucheshi kujibamba"


MCA Tricky ni mmoja wa wacheshi maarufu nchini Kenya, kazi zake zina endelea kuwavutia mashabiki wengi.


share








   8m
 
 

Taarifa ya Habari 30 Aprili 2024


Ripoti mpya kuhusu mauaji nchini Australia, imeonesha kuwa idadi ya wanawake ambao wame uawa na wapenzi wao wa sasa au wazamani, imeongezeka kwa asilimia 28 mwaka huu hadi Juni 2023.


share








   20m
 
 

Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki


Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.


share








   7m
 
 

Taarifa ya Habari 29 April 2024


Mratibu wa maandamano yakupinga unyanyasaji dhidi ya wanawake mjini Canberra, amesema waziri mkuu alidanganya kuhusu, kuto ruhusiwa kuzungumza katika tukio hilo.


share








   7m
 
 

Viongozi wadini, Waziri Mkuu waomba uwepo wa heshima na maelewano katika jamii


Viongozi kutoka jumuiya za wayahudi, waislamu na wakristo mjini Sydney wame kemea kwa pamoja vurugu na maneno yakugawanya ambayo yame ibuka kufuatia matukio mawili ya shambulizi ya visu mjini Sydney.


share








   10m
 
 

Taarifa ya Habari 26 Aprili 2024


Aliyekuwa mu Australia wa mwaka wa zamani Rosie Batty ame ihamasisha serikali ya New South Wales izingatie kuanzisha tume yakifalme kwa ukatili wa nyumbani.


share








   17m
 
 

Maveterani washerehekewa naku kumbukwa katika siku ya ANZAC


Maelfu ya watu walijumuika kote nchini Australia, na ng’ambo kutambua siku ya ANZAC.


share








   10m