Gesamtlänge aller Episoden: 13 days 9 hours 48 minutes
In recent days there has been a rising spate of incidences where students have been blamed for burning down their schools. -
Visa vya shule kuteketezwa kwa moto vimeongekeza katika siku za hivi karibuni nchini Kenya. Wanafunzi katika baadhi ya shule hizo ndiwo wame laumiwa kwa visa hivyo.
Kenyans around the world breathed a sigh of relief following the announcement that the World Anti-Doping Agency (WADA) had removed their nation from the list of doping code non compliant countries. -
Wakenya duniani kote wali sherehekea tangazo la kuondolewa kwa nchi yao katika orodha ya mataifa ambayo haya tekelezi masharti ya shirika linalo kabiliana na matumizi ya madawa yaku ongeza nguvu mwilini miongoni mwa wanariadha (WADA).
Every hour four people go missing in Australia.While most are found, the disappearance of one person can affect the lives of 12 others - according to the National Missing Persons Coordination Centre.
-Kila saa watu wanne hupotea nchini Australia, wakati wengi wao hupatikana, kupotea kwa mtu mmoja kunaweza athiri maisha ya watu wengine 12, hiyo ni kwa mujibu wa kituo cha uratibu cha watu walio potea nchini.
The 2016 census on August 9 will be Australias biggest ever survey.The Australian Bureau of Statistics (ABS) expects to count twenty-four million people from more than two hundred countries speaking over three hundred languages
-Mwaka huu sensa ita fanywa tarehe 9 Agosti, inatarajiwa kuwa tafiti kubwa zaidi katika historia ya Australia...
Moving into a new country often presents a host of challenges for many people.
- Watu wengi wanapo hamia katika nchi mpya, wengi wao hukumbwa na changamoto mbalimbali.The mother of a Muslim United States soldier who was killed in Iraq is accusing Republican presidential nominee Donald Trump of not knowing what sacrifice means. -
Mama ya mwanajeshi wa Marekani aliyekuwa Muislamu na ambaye ali uawa nchini Iraq, amemshtumu mgombea wa Urais wa chama cha Republican Donald Trump kwakuto elewa maana yakafara.
Prime Minister Malcolm Turnbull says there will be a royal commission into what he calls a culture of torture-like treatment of children held in detention in Australia's Top End. He says the royal commission will also investigate whether there has been a deliberate cover-up of the issue. -
Kanda ya video ime onesha watoto ndani ya kituo cha kizuizi cha vijana ambacho kiko mjini Darwin kaskazini ya Australia, waki adhibiwa kwa gesi yakutoa machozi.
Australia's small-business sector contributes 340 billion dollars to the national economy and employs 4-and-a-half million Australians.
-Sekta ya biashara ndogo nchini Australia huchangia bola bilioni 340 katika uchumi wa taifa, pamoja naku ajiri idadi yawa Australia wapatao milioni 4.5.
Concerns about renewed fighting in South Sudan has topped the agenda at the annual African Union summit being held in Rwanda. -
Wasi wasi kuhusu mapigano mapya nchini Sudan Kusini ume tawala ajenda ya kongamano la Umoja wa Afrika nchini Rwanda.
The Prime Minister has unveiled his new Cabinet in Canberra after the Coalition met for the first time since the federal election.
-Waziri Mkuu wa Australia amezindua baraza lake mpya la mawaziri mjini Canberra, baada ya mkutano wa kwanza wa chama cha mseto tangu uchaguzi mkuu ulipo kamilika.